Monday, October 14, 2019

Barabara ya Segera - Mkomazi yafunguliwa baada ya Mafuriko Kupungua

Barabara ya Segera - Mkomazi ambayo ilikuwa imefungwa tangu jana kutokana na barabara hiyo kujaa maji eneo la Mandera, imefunguliwa leo baada ya maji kupungua na Tanroads kuifanyia marekebisho.



from MPEKUZI https://ift.tt/2ppGfIr
via IFTTT

No comments:

Post a Comment