Friday, October 11, 2019

LIVE: Rais Magufuli anazindua safari za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) za Dar es Salaam - Mpanda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Katavi  ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Katavi na Wilaya zake


from MPEKUZI https://ift.tt/2nJPRgY
via IFTTT

No comments:

Post a Comment