Sunday, October 13, 2019

PICHA: Kangi Lugola Ajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amejiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, katika Kituo cha Senta, Kijiji cha Nyamitwebili, Jimbo la Mwibara, Wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, leo Oktoba 13, 2019.


from MPEKUZI https://ift.tt/2VK5KAA
via IFTTT

No comments:

Post a Comment