Tuesday, October 1, 2019

Rais Magufuli Asaini Miswada minne na kuwa sheria rasmi

Rais Magufuli amesaini miswada minne na kuwa sheria rasmi, miswada hiyo ilipitishwa na Bunge  kupitia mkutano wake wa 16 uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu.
 
Sheria zilizopitishwa ni pamoja na Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya mwaka 2019


from MPEKUZI https://ift.tt/2oQaSXg
via IFTTT

No comments:

Post a Comment