Baada ya kusambaa kwa picha na video zisizo na maadali (za ngono) za msanii Menina, Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemtaka msanii huyo kufika katika ofisi zake jijini Dar es Salaam. from MPEKUZI https://ift.tt/2VzfAoT via IFTTT
No comments:
Post a Comment