Saturday, September 19, 2020

PICHA: Rais Wa Tanzania Dr Magufuli Ampokea Mgeni Wake Rais Wa Burundi Evariste Ndayishimiye Mkoani Kigoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye wakati wa heshma za nyimbo za Mataifa mawili zikipigwa katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo tarehe 19 Septemba, 2020






 


from MPEKUZI https://ift.tt/3iQ4O8o
via IFTTT

No comments:

Post a Comment