Tuesday, April 20, 2021

Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya Mazungumzo na Spika wa Bunge Job Ndugai Ikulu jijini Dodoma


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Yustino Ndugai leo tarehe 20 Aprili, 2021 Ikulu Jijini Dodoma 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Yustino Ndugai mara baada ya mazungumzo yao leo tarehe 20 Aprili, 2021, Ikulu Jijini Dodoma. PICHA NA IKULU


from MPEKUZI https://ift.tt/3n1qm4O
via IFTTT

No comments:

Post a Comment