Thursday, July 1, 2021

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Awasili Nchini Burundi Kwa Ziara Ya Siku Moja


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewasili nchini Burundi ambapo anafanya ziara ya siku moja nchini humo.

Katika uwanja wa ndege wa Bujumbura, Waziri Mkuu Majaliwa amepokelewa na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombanza.

Miongoni mwa malengo ya ziara hiyo ya Waziri Mkuu nchini Burundi ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na Taifa hilo.


from MPEKUZI https://ift.tt/3dytTEe
via IFTTT

No comments:

Post a Comment