Monday, October 7, 2019

Aliyekuwa Mkurugenzi Usalama wa Taifa Afariki Dunia

Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, nchini Apson Mwang’onda amefariki Dunia leo Oktoba 7, 2019 akiwa Afrika Kusini alipokuwa akiatiwa matibabu dhidi ya maradhi yaliyokuwa yakimsimbua.

Apson Mwang’onda alistaafu kazi hiyo Agosti 21, mwaka 2006 kwa mujibu wa sheria.


from MPEKUZI https://ift.tt/2Vjxcom
via IFTTT

No comments:

Post a Comment