Friday, October 4, 2019

Ditram Nchimbi Aongezwa Kwenye Kikosi Cha Taifa Stars, Baada Ya Jana Kupiga Hat-trick

Kaimu Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars”, Ettiene Ndairagije amemuongeza kwenye kikosi cha Taifa Stars, mshambuliaji wa timu ya Polisi Tanzania, Ditram Nchimbi baada ya jana kuifungia timu yake ya Polisi Tanzania magoli matatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) ulimalizika kwa sare ya kufungana 3-3 na Yanga SC katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaaam.



from MPEKUZI https://ift.tt/2Vi41lF
via IFTTT

No comments:

Post a Comment