Monday, October 7, 2019

Michael Wambura Aachiwa Huru

Aliyekuwa Makamu wa Rais wa (TFF), Michael Wambura amebadilishiwa mashtaka na kukabiliwa na shtaka moja la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na amechiwa kwa makubaliano ya kulipa shilingi milioni 100 na laki tisa kwa awamu tano ambapo leo amelipa milioni 20,249,531


from MPEKUZI https://ift.tt/2o9Jfst
via IFTTT

No comments:

Post a Comment